31.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

RAIS WA UTURUKI AZURU VATICAN

VATICAN CITY, VATICAN


RAIS wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amekutana na Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, ikiwa ni ziara ya kwanza kwa kiongozi wa Uturuki kuzuru Vatican kipindi cha karibu miaka 60 iliyopita.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ofisi ya Rais Erdogan, viongozi hao walijadili mgogoro kuhusu Jerusalem, uhusiano kati ya Uturuki na Vatican, mgogoro wa wakimbizi na ugaidi.

Papa Francis ni miongoni mwa viongozi ambao wamekuwa wakipaza sauti kukosoa hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani kuitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles