27.1 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Rais Kenyatta afanya ziara Kongo

-Kinshasa

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili mjini Kinshasa katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kwa ziara ya siku tatu kwa mwaliko wa Rais Felix Tshisekedi.

Rais, Uhuru amepokelewa na Rais Tshisekedi, Maafisa wa serikali ya Kongo, Waziri wa Mambo ya Nje, Christopher Lutundula Pamoja na Gavana wa Jiji la Kinshasa, Gentiny Ngobila Mbala.

Rais Kenyatta na mwenyeji wake Rais Tshisekedi leo watafanya  mazungumzo ya ushirikiano baina ya Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na kusaini makubaliano mbali mbali ya ushirikiano baina ya nchi hizo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles