27.5 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Picha: Waziri Mkuu atambua mchango wa NMB (MAKISATU 2021)

Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa (katikati) akimkabidhi cheti, ,Mhazini Mkuu wa Benki ya NMB (NMB Bank’s treasurer), Aziz Chacha kwa kutambua mchango wa NMB katika kufanikisha mashindano ya Kitaifa ya Ubunifu, Sayansi na Teknolojia (makisatu 2021) yaliyofanyika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma jana. Kulia kabisa ni Naibu waziri wa Elimu,Sayansi na Tekinolojia, Omari Kipanga.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles