23.7 C
Dar es Salaam
Saturday, September 23, 2023

Contact us: [email protected]

Picha: NMB ndani ya Kilimanjaro Marathon

Afisa Mkuu Rasli Mali watu Benki ya NMB, Emmanuel Akonaay (mwenye jezi nyeupe) pamoja na Meneja Kanda ya Ziwa, Baraka Ladislaus wakishiriki kwenye mbio za kilomita 21 kwenye Kilimarathon 2022. Benki hiyo kupitia klabu yake ‘NMB jogging’ ilishiriki kikamilifu kwenye mbio za 5, 21 na 42.

Baadhi ya wafanyakazi wa Benkinya NMB wakiwa na furaha baada yakumaliza mbio za kilomita 21 kwenye Kilimarathon.  Benki hiyo kupitia klabu yake ‘NMB jogging’ ilishiriki kikamilifu kwenye mbio za 5, 21 na 42.
- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,701FollowersFollow
574,000SubscribersSubscribe

Latest Articles