HomeAfya na Jamii Afya na JamiiKitaifa Picha| Mbunge Mwakagenda atembelea Kiwanda cha kuzalisha taulo za kike By Mtanzania Digital March 27, 2023 0 924 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Mkurugenzi wa Kampuni ya Lady in Red Boxing Promotion ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Sophia Mwakagenda, akitembelea Kiwanda cha Baby Diaper kinachodhalisha taulo za kike Kibaha Mkoa wa Pwani jana ambacho ni mmoja wa wadhamini wa pambano la Bondia Hassan Mwakinyo ambalo litafanyika Aprili 23 kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kununua taulo za kike 40,000 kwa wanafunzi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini Mkurugenzi wa Kampuni ya Lady in Red Boxing Promotion ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Sophia Mwakagenda, akizungumza na uongozi wa Kiwanda cha Baby Diaper kinachodhalisha taulo za kike Kibaha Mkoa wa Pwani jana ambacho ni mmoja wa wadhamini wa pambano la Bondia Hassan Mwakinyo  ambalo litafanyika Aprili 23 kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kununua taulo za kike 40,000 kwa wanafunzi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Meneja Bidhaa wa Kiwanda cha Baby Diaper, Lucia Msami akimwonyesha taulo za kike Mkurugenzi wa Kampuni ya Lady in Red Boxing Promotion ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Sophia Mwakagenda, baada ya kutembelea kiwanda hicho Kibaha Mkoa wa Pwani jana ambacho ni mmoja wa wadhamini wa pambano la Bondia Hassan Mwakinyo ambalo litafanyika Aprili 23 kwenye uwanja wa Jamhuri Dodoma kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kununua taulo za kike 40,000 kwa wanafunzi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleWahariri kujadili Muswada Sheri ya Habari katika kongamano 12Next articleMaafisa Habari Serikalini ongezeni ubunifu-Majaliwa Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz/ Related Articles Kitaifa Walimu wa kujitolea waula Dar Afya na Jamii Muhimbili yapokea mashine ya uchunguzi saratani ya matiti Biashara na Uchumi BoT kutoa elimu ya fedha shuleni LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Kitaifa Walimu wa kujitolea waula Dar Afya na Jamii Muhimbili yapokea mashine ya uchunguzi saratani ya matiti Biashara na Uchumi BoT kutoa elimu ya fedha shuleni Kitaifa Rais Samia kutunukiwa Udaktari wa Heshima na Chuo Kikuu cha Ankara-Uturuki Kitaifa CCM yachangia Sh milioni 10 kwa wanachi waliopatwa na maafa ya maporomoko ya Mlima-Itezi Load more