23 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Perez: Ronaldo kurudi Madrid haiwezekani

Madrid, Hispania

Kwa mujibu wa Rais wa Real Madrid, Florentino Perez, itakuwa ngumu kwa Cristiano Ronaldo kuichezea tena timu hiyo.

Zimekuwapo tetesi za muda mrefu zikimuhusisha ‘CR7’ na Madrid lakini Perez anaamini hizo ni tetesi tu.Kwa upande mwingine, Perez alishindwa kujibu alipoulizwa juu ya mpango wa Madrid kumsajili staa wa PSG, Kylian Mbappe.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles