24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Pata Odds kubwa Man Utd vs Barca Uropa Ligi

Chaka ni moja tu la kubeti na kushinda kirahisi leo, Meridianbet wakali Odds kubwa na machaguo kibao na wakali wa Kasino ya Mtandaoni yenye Sloti bomba za Aviator, Poker na Roulette. Ni muendelezo wa Ligi ya Uropa barani Ulaya huku mechi kubwa inayaosuburiwa na wengi ni Manchester Utd vs FC Barcelona.

ODDS Kubwa za Man Utd vs Barca

Baada ya kutoa sare ya 2-2 huku Mshambuliaji wa United Marcus Rashford aking’ara Zaidi, hatimaye usiku wa kisasi umewadia ni kwenye dimba la OT ni mwenyeji Man Utd vs Barcelona ya Xavi. Meridianbet wametoa odds kubwa kwa Barcelona akishinda ya 3.14. Unaweza kubashiri kwenye dula la kubashiri upate bonasi ya ukaribisho au kupitia Meridianbet unaweza kubashiri mubashara.

Mchezo kati ya Nantes vs Juventus ya Italia utapigwa na kila timu inasaka ushindi kwenye mechi hii. Kwenye dimba la Stade de la Beaujoire ni sehemu ambapo mchezo huu utapigwa. Meridianbet wanakupatia odds kubwa za mechi hii na kama sio mpenzi wa Soka basi usiwaze unaweza kucheza Kasino ya Mtandaoni yenye Sloti bomba kama Poker, Roulette na Aviator. Cheza Kasino upate mizunguko ya bure na bonasi kibao.

AS Monaco atakuwa na kibarua kingine dhidi ya Bayern Leverkusen. Kwa Odds kubwa ya 2.25 vs 2.99 ushindi kwa kila timu zinakupatia mtonyo mrefu sana. Beti na Meridianbet kupitia duka la ubashiri lililo karibu yako, au bashiri mubashara kupitia https://app.mrdn.co/bashiri01 lakini pia unaweza kucheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni yenye michezo mingi ya Sloti kama Aviator, Roulette na Poker Bonyeza hapa https://app.mrdn.co/casin01

Wakiwa wamekutana mara moja na Sevilla kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya PSV. Lakini unaambiwa katika mechi 6 za mwisho kwenye uwanja wao wa nyumbani ameshinda mechi 6, leo watakutana tena kwenye usiku wa Ligi ya Uropa. Odds kubwa unazipata Meridianbet wenye Kasino ya Mtandaoni iliyojaa michezo ya sloti za kijanja kama Aviator, Poker na Roulette

Vijana wa Jose Mourinho watapambana kwenye dimba lao la nyumbani Stadio Olimpico dhidi ya Salzburg mwenye odds kubwa ya 5.09 ashinde ugenini. Hata hivyo mbali na kubeti Soka Meridianbet wanakupa Kasino ya Mtandaoni yenye Sloti bomba yenye michezo kama Aviator, Poker na Roulette yote hii inakuja na Jakipoti ya nguvu.

MUHIMU: Meridianbet imekuja na Promosheni mpya ya DAKA HIYO maalum kwa watu wanaobeti bila bando kwa dau dogo kabisa la kuanzia Tsh 1000/= na kuendelea unaweza kujishindia mgao wa Tsh 1M, Muhimu ni kwamba tiketi yako iwe na ya mechi kuanzia 3 na kuendelea huku ukibeti siku 5 mfululizo, ili ujiweke kwenye nafasi kubwa ya ushindi, Cheza Zaidi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles