30.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Papa Fololo aiweka wazi ‘Hakupendi’

Quebec,Canada

MWANAMUZIKI mwenye asili ya Tanzania anayeishi Brossard, Quebec nchini Canada, Papa Fololo, amewaomba wapenzi wa muziki mzuri kuipokea video ya wimbo wake mpya, Hakupendi aliyomshirikisha prodyuza Fraga.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Papa Fololo alisema anaamini mashabiki zake wengi wapo Afrika Mashariki hasa Tanzania hivyo anahitaji sapoti yao.

“Ni wimbo wa mapenzi ambao nimezungumzia hali halisi za mahusiano mengi. Mapenzi ya kweli yamepungua, wengi wanadanganya ndio maana nimeona nije na ngoma hii ambayo video yake imeongozwa na Brown Fx na sasa ipo kwenye chaneli yangu ya YouTube,” alisema Papa.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles