23.7 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Pangani yazindua ‘Operesheni Kata Minyororo’

Mwandishi Wetu, Pangani

Wilaya ya Pangani jijini Tanga, imezindua kampeni ya ‘Operesheni kata Minyororo’ ili kutokomeza biashara ya magendo wilayani humo.

Mkuu wa wilaya hiyo, Zainab Abdalah, amesema operesheni hii imelenga kukata kuanzia mizizi hadi matawi ya minyororo hiyo ya muda mrefu ya biashara ya magendo.

“Ushirikiano wa jamii ndiyo msingi wa mafanikio ya safari hii ya kukataa magendo katika Wilaya ya Pangani, tunawaomba Wanapangangani wote kuwa wazalendo kwa kukata minyororo ya magendo,” amesema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles