25.1 C
Dar es Salaam
Saturday, December 9, 2023

Contact us: [email protected]

NMB Kanda ya Ziwa yamwaga vifaa kuelekea kilele cha Mwenge wa Uhuru Chato

Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa – Baraka Ladislaus akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Geita – Rosemary Senyamule traksuti 500, miavuli 500 na fulana 30 zitakazo tumika na halaiki kwenye kilele cha Mwenge Maalum wa Uhuru utakaofanyika kesho wilayani Chato.

Kushoto (Mwanzo) ni Josephine Kulwa, Meneja Mahusiano ya Serikali. Hafla hiyo ya Makabidhiano ilifanyika jana wilayani Chato.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
580,000SubscribersSubscribe

Latest Articles