24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Nikki wa Pili awatetea wanawake wa Kichaga

nikki wa piliNA GLORY MLAY

 BAADA ya kutamba na wimbo wa ‘Baba Swalehe’ mkali wa Bongo Fleva, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’, anatarajia kuachia wimbo wake mpya wa ‘Sweet Mangi’.

  Katika wimbo huo aliomshirikisha Chidy Benzi, anayepatiwa matibabu baada ya kutumia dawa za kulevya, Nikki kutoka kundi la Weusi amezungumzia kabila la Wachaga kwamba ni wazuri na wanajua kupenda.

“Wengi wanasema wasichana wa Kichaga hawajui kupenda wanawaza fedha, lakini ukisikiliza wimbo wangu utajua namna wanavyopenda kuliko wanavyofikiriwa na wengi,” alisema Nikki.

 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles