25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Nigeria kuuza ndege mbili za Rais

ndege-nigeria

Katika kuhakikisha uchumi wa Nigeria unatengamaa, serikali ya nchi hiyo  imeamua kuuza ndege mbili kati ya 10 zinazotumiwa na Rais. Uamuzi huo umelenga  kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Uamuzi huo wa kuuza ndege hizo unakwenda sambamba na  kuzihamishia  ndege zilizobakia  kwa shirika la ndege la nchi hiyo kwa dhamira ya  kuongeza ufanisi ndani ya shirika hilo.

Nigeria ni moja kati ya nchi zenye uchumi mkubwa  Afrika. Hata hivyo  kwa kipindi kirefu sasa uchumi wake umekuwa ukiyumba.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles