24.2 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 17, 2024

Contact us: [email protected]

Mwanamke alipia kukatwa viungo vyake kwa ajili ya malipo ya bima Vietnum

VIETNAM
VIETNAM

 

Mwanamke mmoja nchini Vietnam amekiri kutoa mguu na sehemu ya mkono wake vikatwe ili aweze kudai malipo ya bima, kwa mujibu wa polisi.

Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 30 , anayetambuliwa kama ”Ly Thi N”, alidanganya kuwa aligongwa na treni, limeripoti gazeti la polisi nchini Vietnam.

Lakini kwa sasa ameripotiwa kukiri kwamba alimlipa rafiki yake dola $2,200 akate viungo vyake.

Lengo lilikua ni kudai dola zaidi ya $150,000 kutoka kwa kampuni ya bima yake.

Kwasasa mwanamke huyo akiwa amepona majeraha yake. anaendesha biashara kwa shida, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo.

 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles