27.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Mwalimu aliyepokea mishahara miwili ahukumiwa jela miaka mitatu

Derrick Milton, Simiyu

Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kurejesha Sh milioni 10.3, Mwalimu Josiah Mkome baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa inamkabili.

Mwalimu Mkome alikuwa akifundisha Shule ya Sekondari Kandawe wilayani Magu, mkoani Mwanza alishtakiwa kwa kosa la kupokea mishahara miwili kutoka katika Wilaya ya Magu na Maswa kinyume cha sheria.

Mwendesha mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wa Mahakama ya Wilaya ya Maswa, amedai mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo Fredrick Lukuna, mshtakiwa alipokea mishahara hiyo miwili kiasi ya hicho cha

Tangu Februari mwaka 2012 hadi Mei mwaka 2015.

 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles