25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

MWAKYEMBE: USHIRIKI WA SIMBA SPORTSPESA ALAMA KWA TAIFA

Mwandishi Wetu, Morogoro         |


Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema ushiriki wa Simba katika Michuano ya Sportpesa ni alama kwa Taifa.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Morogoro leo, Dk. Mwakyembe amesema hatua ya Simba kushiriki fainali ya michuano hiyo sasa inakwenda kuitangaza Tanzania kwenye medani za kimataifa.

“Ushiriki wa Simba kwenye michuano ya Sportpesa ni alama kwa nchi yetu, kwa sababu akishinda anakwenda kucheza na Everton ya Uingereza.

“Nami nilikuwa nafikiria kwenda kushuhudia fainali hizi nchini Kenya, lakini acha tuone kwanza. Hapa lazima tuweke uzalendo mbele kwa Simba ambayo inawakilisha Tanzania kwenye michuano hii, ” amesema Dk. Mwakyembe.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles