30.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Musonye achekelea wingi wa mashabiki

aho-cecafa-kagame-cup-izabera-hamenyekanye_53ac76dbd5148_l643_h643KATIBU Mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Nicholas Musonye, amefurahia wingi wa mashabiki waliojitokeza kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Hawassa kushuhudia michuano hiyo.

Kutokana na hilo, Musonye amewapongeza waandaaji wa mechi za mji wa Awassa, ambapo kwa hatua iliyobakia ya michuano hiyo yataendelea katika mji wa Addis Ababa na kujipa moyo yatamalizika kwa mafanikio makubwa.

“Nina furaha kubwa kwa namna mashabiki walivyojitokeza Hawassa na nina furaha kwa sapoti wanayotupa pamoja na mwenendo wao. Idadi yao kwenye mechi ni kubwa sana tuliyoiona kwenye CECAFA kwa miaka ya hivi karibuni,” alisema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles