25.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Mtitu: Natamani Lulu Diva aache muziki

Glory Mlay

MSANII na mtayarishaji wa filamu maarufu nchini, William Mtitu, amesema anatamani Lulu Diva aache muziki awekeze nguvu zake kwenye filamu.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Mtitu alisema anaamini Lulu Diva anakipaji cha kuigiza kuliko kufanya muziki na angepata mafanikio makubwa kuliko alivyo sasa.

“Ukinuliza nitakwambia natamani Lulu Diva aache muziki, akiwekeza nguvu kwenye filamu atafika mbali maana alijaribu tu kwenye Rebeca na alifanya vizuri ,waigizaji wengi wa kike huwa wanakuja alafu baadae wanaacha.

“Naamini angeendelea kuigiza angekuwa anga za kimataifa, anakipaji lakini amekificha kwenye muziki,” alisema Mtitu.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles