31.7 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Mshiriki mpya Maisha Plus ana aleji ya ugali

14316834_10154369077681328_5137956578783893771_n

BAADA ya mshiriki kutoka Uganda, Kakunda kujiondoa katika shindano la Maisha Plus East Afrika 2016, mshiriki mpya kutoka Uganda, Ronald Mutebi, ameripoti katika kijiji hicho huku akidai kwamba ana aleji ya ugali.

Kuongezeka kwa mshiriki huyo ambaye alishinda katika usaili wa Uganda lakini alichelewa kupata taarifa ya kufika kijijini, kumeongeza idadi ya washiriki kutoka Uganda kufikia watatu  baada ya mmoja wao kuyaaga mashindano hayo.

Washiriki wengine wanabaki kuwa kama walivyokuwa ambapo Kenya (4), Uganda (3), Burundi (4), Rwanda (4), isipokuwa Tanzania kupungukiwa na mshiriki mmoja kutoka Zanzibar aliyejitoa kutokana na tatizo la ugonjwa, hivyo kubaki washiriki 15.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles