26.9 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Mourinho afutwa kazi Tottenham

London, Uingereza

Kocha wa Tottenham Jose Mourinho amepigwa kalamu baada ya kuisimamia timu hiyo kwa miezi 17 pekee.

Raia huyo wa Ureno alichukua mahala pa Mauricio Pochettino kama mkufunzi wa Spurs mwezi Novemba 2019 na kuiongoza klabu hiyo kuwa katika nafasi ya sita katika ligi ya Premia msimu uliopita.

Kwa sasa Spurs wako katika nafasi ya saba, baada ya kuvuna pointi mbili kutoka mechi tatu zilizopita na waliondolewa katika Ligi ya Europa mwezi Machi. Spurs inatarajiwa kukabiliana na Manchester City katika fainali ya Kombe la Carabao siku ya Jumapili.

Msimu huu, Tottenham chini ya usimamizi wa Mourinho imeshapoteza michezo 1. Rekodi ya kupoteza michezo mingi hivyo ni ya mara ya kwanza kwa Mourinho katika kazi yake ya ukufunzi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles