29.2 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 24, 2024

Contact us: [email protected]

MO MUSIC: Sina uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji

651520c44b9d0ee6a50bc9e2a6bfdd9eNA MAULI MUYENJWA

MSANII wa Muziki wa Bongo Fleva, Moshi Katemi, maarufu kwa jina la Mo Music, amekana tetesi kwamba anatoka na mtangazaji mmoja wa redio maarufu nchini.

“Sijawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwandishi wa habari, ingawa ninafahamiana na wengi ila kikubwa huwa tunaongea kuhusu kazi, naamini muziki wangu ndiyo unaonifanya niwe maarufu, lakini siyo skendo kama hizo,” alisema Mo.

Aliongeza kwamba kutokana na kuuamini muziki wake hawezi kukubali kuchafuka kwa kashfa kwa kuwa muziki wake unajiuza wenyewe bila kuwa na kashfa za ajabu ajabu.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles