29.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Minaj apanga kukusanya tuzo 2016

nicki-minajNEW YORK, MAREKANI

MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, amesema kuwa mwaka 2016 atahakikisha anajikusanyia tuzo mbalimbali.

Mwanadada huyo ambaye bado anatamba na wimbo wake wa ‘Right to my side’, amesema mwaka huu amechukua tuzo mbalimbali lakini 2016 atahakikisha anaongeza idadi ya tuzo.

“Tunaumaliza mwaka 2015, nimefanikiwa kuchukua tuzo mbalimbali na sasa nimejipanga kwa ajili ya mwaka 2016 ambapo nitahakikisha najikusanyia tuzo nyingi zaidi ya 2015.

“Maandalizi nimeyaanza tangu mwaka huu kwa kuwa ninajua ushindani uliopo katika muziki wa hip hop, ninaamini nitafanikiwa kutokana na ushirikiano ninaopata kutoka kwa mpenzi wangu Meek Mill,” alisema Minaj.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles