24.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 16, 2024

Contact us: [email protected]

Mdahalo vyuo vikuu Zanzibar kufanyika Septemba

Na Mwandishi wetu

Idara ya Vyuo Vikuu Zanzibar imeandaa mdahalo maalumu utakaokutanisha vijana mbalimbali kujadili kuhusu Uchaguzi Mkuu.

Mdahalo huo unatarajiwa kufanyika Septemba Mosi katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein Suza – Tunguu.

Lengo la mdahalo huo ni kuzungumzia wajibu wa vijana katika uchaguzi mkuu na maendeleo yao baada ya uchaguzi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles