23.3 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

MBUNGE ATAKA AFUNDISHE

 

 

MBUNGE wa   Serengeti, Marwa  Ryoba, ameutaka  Uongozi wa Shule ya Sekondari Serengeti kumpangia vipindi   aweze   kufundisha wanafunzi wa shule hiyo masomo ya sayansi  anapokuwa mapumziko, anaripoti Malima Lubasha.

Ryoba alisema hayo wakati wa makabidhiano wa msaada wa madawati na magodoro yaliyotolewa na kampuni inayojishughulisha na utalii   ya Grumeti Reserves Fund.

Alisema amechukua hatua hiyo baada ya kuridhishwa na matokeo mazuri ya kidato cha sita mwaka huu ambako wanafunzi wote 48 wamefaulu, daraja la kwanza wakiwa  12, daraja la pili    34 na la tatu wamefaulu watatu.

 

 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles