23.8 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Mbunge adai kangomba si dhambi

Arodia Peter, Dodoma

Mbunge wa Tandahimba, Katani Katani amesema biashara ya Kangomba si dhambi kama ambavyo imetafsiriwa na serikali.

Akichangia mjadala wa hotuba ya Wizara ya Viwanda na Biashara bungeni leo, Mei 15, Katani amesema kuwa kupitia mauziano kwa mtindo wa kangomba, wakulima wamekuwa wakinufaika kwa kukopeshwa nyenzo za kilimo.

“Mheshimiwa Naibu Spika, biashara ya Kangomba imeruhusiwa hata kwenye vitabu na hadithi za Mtume Muhamad, kangomba si biashara haramu, ni halali kwani humsaidia kupata nyenzo za kilimo kwa makubaliano kwamba akiuza atamfidia yule aliyempa nyenzo.” amesema Katani.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles