26.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

MBOWE: KUKAMATWA KWA LOWASSA NI UHUNI WA CCM

Lowassa-na-Mbowe

NA MWANDISHI WETU, MWANZA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amesema kuwa kitendo cha kumkata Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa mkoani Geita kimedhihirisha polisi kutumika na Chama Cha Mapinduzi wakati wa chaguzi mbalimbali.

Mwenyekiti huyo alisema jeshi la polisi limekuwa likiwakamata na kuwaweka ndani viongozi mbalimbali wa chama chake kwa shinikizo la CCM na kuwataka Watanzania kulaani ukamataji huo kwa kuwa ni uhuni wa kisiasa.

Mbowe ametoa kauli hiyo leo jijini hapa wakati akifungua Kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kilichohudhuriwa na wajumbe mbalimbali akiwemo Lowassa pamoja na baadhi ya wabunge.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles