25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Mama Diamond ajisifia ustaa

GLORY MLAY

MAMA mzazi wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amesema kuwa yeye ndiye mama ‘star’ zaidi hapa nchini.

Amesema kitendo cha Diamond Platnumz kujulikana nchi za Afrika Mashariki na Kati kumemfanya na yeye kuwa maarufu.

“Hakuna mama wa masanii hapa nchini maarufu kama mimi, kwanza mwanangu anajulikana mataifa mbalimbali kutokana na kazi yake ya muziki.

Mama Diamond ajisifia ustaa “Hivyo naweza kusema na mimi ni staa kwa kuwa ninajulikana sana, ninajivunia uwepo wake,” alisema mama wa msanii huyo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles