27.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

Mabeste: Bila mke mimi si chochote

11863462_824330024332919_8032859196560071225_n

NA BEATRICE KAIZA

MSANII wa Hip Hop nchini, William Ngwi ‘Mabeste’, ameweka wazi kwamba mke wake, Lisa Fickenscher, ndiye mwongozo wa maisha yake kwa ujumla.

Akizungumza na MTANZANIA, Mabeste alisema mkewe amekuwa na upeo mkubwa unaomwongoza katika ushauri wa maisha yao na watoto wao.

“Mke wangu ni kiongozi shupavu mwenye upeo Mkubwa, nadiriki kusema kwamba bila yeye mimi si chochote katika maisha yetu,” alieleza Mabeste.

Wawili hao wanaoshirikiana pia katika kazi ya muziki wapo katika maandalizi ya kupata mtoto mwingine, huku wakijinadi kufanya kazi kwa bidii ili kuwatengenezea maisha mazuri watoto wao.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles