22.8 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Ma-RPC waliotumbuliwa na Lugola wachunguzwa, nafasi zao zikichukuliwa

Bethsheba Wambura, Dar es Salaam

Makamanda wa Polisi wa mikoa mitatu waliotumbuliwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, wiki iliyopita,  wamehamishiwa Makao Makuu ya Polisi kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa dhidi yao.

Makamanda hao na mikoa yao kwenye mabano ni Kamishna Msaidizi wa Polisi, Ramadhan Ng’anzi (Arusha), Kamishna Msaidizi, Emmanuel Lukula (Temeke) na Kamishna Msaidizi, Salum Rashid (Ilala).

Hatua hiyo imechukuliwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, ambaye amefanya mabadiliko ya makamanda hao ambapo makamanda wa polisi wa mikoa hiyo watateuliwa hivi karibuni.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles