24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Langzy MC aachia kitu ‘Linah’

Queensland, Australia

Rapa mwenye asili ya Burundi anayeishi nchini Australia, Langzy MC, amewaomba mashabiki wa muziki huo kuipokea video ya wimbo wake, Linah

Langzy, ameliambia www.mtanzania.co.tz kuwa ngoma hiyo ina ujumbe mzuri wa mapenzi ambao anatamani kila mtu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki ausikilize.

“Nimeachia video ya wimbo wangu Linah, video tayari ipo kwenye chaneli yangu ya YouTube naomba mashabiki waende kuitazama naamini wataburudika pia nimeanzisha #linahchallenge kwa yeyote anayeweza kuucheza na kuweka hiyo ‘hushtag’ Instagram mimi nitachapa kwenye ukurasa wangu,” amesema Langzy MC.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles