23 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Kiwango cha uzazi China chaporomoka


China

Kasi ya uzazi wa watoto nchini China, imeshuka zaidi kufikia kiwango cha chini kabisa tangu taifa hilo lilipoanzishwa mwaka 1949. Licha ya juhudi za kuwahamasisha wanandoa kuzaa watoto Zaidi.

Mwaka 2016 China ilifuta sera yake ya mtoto mmoja kwa kila familia na kuwaruhusu wanandoa kuzaa watoto wawili.

Lakini sera hiyo inaonekana haikusaidia katika ongezeko la idadi ya watu huku gharama za maisha zikipanda miongoni mwa wanandoa wanaozingatia kupata mtoto.

Kiwango cha uzazi mwaka 2018, kilishuka kuliko mwaka uliotangulia wa 2017. China ina jumla ya watu karibu bilioni 1.4.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles