27.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Kiongozi wa mbio za mwenge agoma kuzindua mradi

Amina Omary, Tanga

Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa,  Mzee Mkongea Ally,  amegoma kuzindua mradi wa ujenzi wa madarasa mawili na ofisi ya Mwalimu katika Shule ya Sekondari Mafisa iliyopo wilayani Kilindi.

Amefikia hatua hiyo baada ya kutoridhika na ujenzi wa majengo hayo uliyogharimu Sh milioni 46.7.

Hata hivyo ameiagiza Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kwenda kukagua mradi huo ili kubaini ubadhirifu huo wa fedha na kuweza kuchukuwa hatua.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles