24.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Kim Kardashian asumbuliwa na meno

Kim Kardashian
Kim Kardashian

NEW YORK, MAREKANI

MKE wa rapa Kanye West, Kim Kardashian, inadaiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa meno, hivyo anashindwa kutafuna vitu vigumu.

Mrembo huyo aligundua hilo juzi jijini New York, na kujikuta akishindwa kula chakula kutokana na maumivu makali kwenye meno.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, mrembo huyo aliweka wazi kupatwa na tatizo hilo, lakini iliweza kuwasiliana na daktari wake kwa ajili ya matibabu.

“Nilipatwa na maumivu ya ghafla nikawa nashindwa kutafuna kitu chochote chenye ugumu, lakini niliwasiliana na daktari wangu kisha nikafanyiwa matibabu, kwa sasa naendelea vizuri na chakula kinaliwa kama kawaida,” aliandika Kim Kardashian.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles