23.3 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 24, 2024

Contact us: [email protected]

KIDOA: NAMPENDA DIAMOND KIUKWELI

Na BEATRICE KAIZA


MREMBO anayepamba video za wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva, Asha Salum (Kidoa), ameweka wazi kwamba anampenda msanii Nasibu Abdul (Diamond Platnumz) ndiyo maana anataka kufanya naye kazi.

“Nampenda Diamond Platnumz kwa kuwa ana mvuto na anajitambua anachofanya huku akithamini kipaji chake kwa kufanya kazi kwa bidii pia kitu ambacho kinanivutia kwake zaidi ni kuweza kuipeperusha bendera ya Tanzania kila kona,’’ alisema Kidoa huku akidai kwamba anatamani siku moja afanye naye kazi kwenye moja ya nyimbo za msanii huyo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles