27.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 16, 2024

Contact us: [email protected]

Array

KANYE WEST ADAI NI TAJIRI KULIKO TRUMP

 NEW YORK, MAREKANI 

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amedai hakuna mtu ambaye anaweza kumlipa kwa kuwa ana fedha za kumzidi rais wa nchi hiyo Donald Trump. 

Mapema wiki hii msanii huyo alifanya mazungumzo na nyota wa muziki huo Nick Cannon katika kipindi chake cha ‘Cannon’s Class’ na kisha akaanza kutamba kuwa ana fedha nyingi. 

“Kaka, hakuna mtu ambaye anaweza kunilipa, niweke wazi kuwa nina fedha nyingi zaidi ya rais Trump,” alisema rapa huyo. 

Kanye West ni msanii ambaye amejitokeza kwenye mbio za kuwania urais nchini Marekani mwaka huu na anatajwa kuwa na utajiri wa thamani ya dola bilioni 5.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles