33.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Matukio kwa picha tuzo za NBAA 2020

Kamishna wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha, Dk. Charles Mwamwaja, akimkabidhi Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo, tuzo ya mshindi wa kwanza kwa upande wa taasisi za fedha ya uwasilishaji bora wa hesabu kwa mwaka 2018/2019 kwa kutumia viwango vya kimataifa vya kutayarisha hesabu zilizotolewa na NBAA.
Kamishna wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha, Dk. Charles Mwamwaja, akimkabidhi Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo, tuzo ya mshindi wa kwanza kwa upande wa taasisi za fedha ya uwasilishaji bora wa hesabu kwa mwaka 2018/2019 kwa kutumia viwango vya kimataifa vya kutayarisha hesabu zilizotolewa na NBAA. Waliombatana naye ni Mkuu wa Kitengo cha Uwasilishaji wa Taarifa za Fedha, Fortunata Skauiki na Hemedi Mkuku, Meneja Mwandamizi wa Uwasilishaji Taarifa za Fedha Benki ya CRDB.
- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles