24.7 C
Dar es Salaam
Tuesday, March 19, 2024

Contact us: [email protected]

Irene Uwoya awajia juu wanaomsema vibaya

GLORY MLAY

MSANII wa filamu hapa nchini, Irene Uwoya, amesema kuwa, watu wengi wanamshangaa kuwa na maneno mabaya na kusahau wao ndio waliomfundisha.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Irene alisema kuwa, kawaida yake yeye si muongeaji kwasababu hapendelei kufuatilia mambo ya watu, ila wao wanamchokoza kitu ambacho hakifurahii.

“Watu wengi wananishanga sana siku hizi, wanasema nimekuwa na maneno. Ukweli ni kwamba wamenifundisha wao kuongea maana nilikuwa sina tabia ya maneno na mtu kabisa, lakini wananitafuta kama wanajua ukoo wangu, inaumiza sana,” alisema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
584,000SubscribersSubscribe

Latest Articles