24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Hotuba ya Rais Samia yaingia kwenye rekodi

JESTINA ZAUYA, TUDARCo

HOTUBA ya Rais  wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan aliyoitoa Septemba 23,2021 katika  mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imetajwa kuwa miongoni mwa hotuba saba muhimu zilizowahi kutolewa.

Hotuba  hiyo imechaguliwa na tovuti ya Marekani ya  â€˜Foreign Policy [FP]  kuwa ni miongoni mwa hotuba muhimu zaidi kutolewa kwenye kikao hicho huku ikiwa ni ya kipekee kutoka kwa mkuu wa nchi.

Katika mkutano huo, Rais Samia alihutubia kuhusu  masuala ya mabadiliko ya hali ya hewa na janga la Uviko 19.

Viongozi wengine ambao hotuba zao zimeelezea mambo muhimu ni pamoja na Rais wa China  Xi Jinping, Rais wa Marekani Joe Biden, Rais wa Lebanon Michel Aoun Rais wa Brazil Jair Bolsonaro, Rais wa Iran Ebrahim Raisi  na  Waziri Mkuu wa India Narendra Modi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles