31.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Halmashauri Hai yapata Makamu Mwenyekiti mpya

Upendo Mosha, Hai

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, limefanya uchaguzi na kumchagua, Elingaya Massawe kuwa Makamu Mwenyekiti wa halmashauri hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Baraza hilo limefanya uchaguzi huo leo Ijumaa Agosti 30, chini ya usimamizi wa Mwenyekiti wake Helga Mchomvu.

Massawe aliibuka mshindi baada ya kupata kura 15 kati ya 22 zilizopigwa na kumshinda mshindani wake Deo Kimaro ambaye alipata kura saba.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles