30.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Grace Mapunda awapa neno wanawake

Na GLORY MLAY

MWIGIZAJI mkongwe nchini, Grace Mapunda, amewakata wanawake waendelee kufanya kazi kwa bidii na waache kubweteka kwani tabia hiyo ni sawa na kununua umasikini.

Akizungumza na MTANZANIA jana jijini Dar es Salaam, Grace Mapunda anayetamba kwenye tamthilia ya Huba kama Tessa, alisema wanawake wa zamani walikuwa wanategemea zaidi waume zao tofauti na sasa ambapo wanawake wanapaswa kupambana.

“Wanawake wanaokaa bila kujishughulisha na kuukubali umasikini kiukweli wananiumiza sana kichwa, sipendezwi na tabia hiyo, maisha ya sasa yamebadilika hakuna mtu anayependa ategemewe kama zamani, wote inatupasa tuutokomeze umasikini,” alisema Grace.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles