24.7 C
Dar es Salaam
Tuesday, March 19, 2024

Contact us: [email protected]

Gigy Money aomba msamaha

Na Brighter Masaki, Dar es salaam

Msanii wa Bongo fleva na mfanyabiashara nchini, Gift Stanford, maarufu kama ‘Gigy Money’ ameendelea kuomba msamaha kwa kupunguziwa adhabu ya kifungo chake cha miezi 6 kufanya kazi za Sanaa baada ya kutolewa agizo la kufunguliwa kwa TV za mitandaoni na Rais samia suluhu.

Msanii huyo alifungiwa kufuatiwa tuhuma za kosa la kuvaa nguo zinazoonesha maumbile yake katika moja ya tamasha la wasanii lililofanyika januari 2021.

Gigy Money ameomba apunguziwe adhabu hiyo ilikuweza kufanya kazi zake za usanii maana ni tegemezi wa familia pia ana mtoto mdogo anayemtegemea.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
584,000SubscribersSubscribe

Latest Articles