27.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Future Destin atoa somo kwenye ‘BA OLOBELA’

BRISBANE, AUSTRALIA

MSANII wa kizazi kipya mwenye makazi yake, Brisbane nchini Australia, Future Destin Fidel a.k.a Future Destin, amewataka vijana kuwaheshimu wazazi wao kupitia wimbo wake mpya, BA OLOBELA.

Future mwenye asili ya Kongo (DRC), ameiambia mtanzania.co.tz kuwa ngoma yake BA OLOBELA imewaongelea watoto ambao hawataki kupokea ushauri mzuri.

“Wimbo una ongelea jinsi watoto hawasikii ushauri, wenye kudharau wazazi na kusema uongo, video nimeiachia jana kwenye chaneli yangu ya YouTube (Future Destin) hivyo mashabiki wanaweza kuitafuta BA OLOBELA na kuitazama,” amesema Destin.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles