26.9 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Fred Vunjabei ateuliwa Mwenyekiti mpya Kamati ya fedha, Uchumi UVCCM

Na Beatrice Kaiza, Dar es Salaam

Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu ‘Fred Vunja bei’ amepitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kuwa Mwenyekiti mpya wa Kamati ya Uchumi, Uwezeshaji na Fedha Taifa.

Fred amepitishwa kupitia kikao cha Baraza Kuu ambacho kimemalizika jana Makao Makuu ya CCM Dodoma.

Kamati ya utekelezaji chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Komredi Kheri James ilikuja na pendekezo la jina la Mwenyekiti huyo wa kamati ambapo baadae alithibitishwa na wajumbe kwa kura nyingi za ndio.

Aidha, mbali na Fred, Umoja huo umempitisha, Rose Manumba kuwa Katibu wa idara hiyo. Baraza hilo lilichagua wajumbe wengine wanne wa kamati kutoka bara na visiwani.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles