31.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Eminem auza viatu kupambana corona

 NEW YORK, MAREKANI 

RAPA Marshall Mathers III maarufu kwa jina la Eminem, ameviweka sokoni viatu vyake aina ya Jordan 4 Retro kwa ajili ya kukusanya fedha za kusaidia kupambana na virusi vya corona. 

Msanii huyo mwenye miaka 47, anaviuza viatu hivyo kwa kitita cha dola 20,000 ambazo ni zaidi ya milioni 46 za Kitanzania. 

“Nipo tayari kuviuza baadhi ya viatu vyangu kwa kiasi cha dola 20,000 kila jozi kwa ajili ya kukufanya fedha ambazo zitakwenda kusaidia kupambana na virusi vya corona,” aliandika msanii huyo kwenye ukurasa wake wa Twitter. 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles