27.9 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Diamond, Ney wa Mitego wakesha siku saba

NA SHARIFA MMASI
NYOTA wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond’ na Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, wametumia siku saba kukesha studio kurekodi wimbo wao mpya wa ‘Mapenzi au Pesa’.
Wimbo huo ulioanza kusikika hivi karibuni, Diamond na Ney wameshirikiana kwa mara ya pili baada ya wimbo wa ‘Muziki gani’.
Ney alisema ‘Mapenzi au Pesa’ ni wimbo wa kwanza kuukeshea studio na kupata usingizi kidogo kwa siku saba mfululizo.
“Kwa mara ya kwanza tangu nianze kuimba muziki, wimbo huu umenifanya nikae macho siku saba tofauti na nyimbo nyingine nilizofanya, mashabiki umewagusa hasa waliopo kwenye uhusiano wa kimapenzi,” alisema Ney wa Mitego.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles