24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Ciara afurahia kusubiri mtoto wa tatu

New York, Marekani

STAA wa muziki nchini Marekani, Ciara Harris, ameweka wazi kuwa na furaha ya kuongeza familia yake huku akiwa anasubiri mtoto wa tatu miezi ya hivi karibuni.

Mrembo huyo mwenye umri wa miaka 34, alifanikiwa kufunga ndoa na nyota wa soka nchini Marekani, Russell Wilson tangu mwaka 2016.

Wawili hao walifanikiwa kupata mtoto wa kwanza miaka miwili iliopita na sasa wanatarajia mtoto wa pili, lakini Ciara alipata mtoto wa kwanza akiwa kwenye uhusiano na rapa Future.

“Nimekuwa nikipenda sana watoto, furaha yangu ni kuona ninakuwa na familia kubwa, nasubiri kwa hamu mtoto wangu wa tatu,” aliandika mrembo huyo kwenye ukurasa wake wa Instagram huku akiposti picha mbalimbali za kuonesha tumbo lake.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles