25.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

CHEMICAL: SITASAHAU MAMA YANGU ALIVYONIACHA

NA CLARA ALPHONCE


MSANII wa hip hop, Chemical amesema kila anapokumbuka kifo cha mama yake anajikuta akilia sana kutokana na kutamani angeyaona mafanikio yake ya sasa kupitia muziki wake.

“Sikulelewa na mama yangu kwa asilimia kubwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua, lakini nilipotimiza miaka mitatu nikaambiwa niende Dar es Salaam kumsalimia, nilifika na furaha kumbe ndiyo alikuwa amefariki, iliniuma sana ingawa nilikuwa na umri mdogo na kila mara huwa natamani angeyaona mafanikio yangu,” alisema Chemical.

Chemical ni moja wa marapa walioibuka hivi karibuni pamoja na kufanya vizuri katika kazi zake nyingi pia ameleta  changamoto kwa marapa wa kike waliomtangulia.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles