25.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

Caby, Dully Sykes waileta ‘Tisha Baba’

NA CHRISTOPHER MSEKENA

MREMBO anayekuja kwa kasi kwenye Bongo Fleva, Beatrice Mbwiga a.k.a Caby Nedvarda, amewashukuru wapenzi wa muziki huo kwa mapokezi ya wimbo, Tisha Baba aliomshirikisha Dully Sykes.

Caby, ameliambia Papaso la Burudani kwamba bado anahitaji sapoti kubwa kutoka kwa mashabiki hasa katika wimbo huo ambao ndio wa kwanza.

“Tisha Baba ndio kazi yangu mpya ya kwanza rasmi, nawashukuru sana kwa sapoti na mapokezi mazuri, kwahiyo mashabiki wanaweza kwenda kwenye chaneli yangu ya YouTube, Caby Music kuitazama cvideo hiyo,” alisema Caby ambaye ni mzazi mwenza wa Ruge Mutahaba.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles