23.3 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

BRAZIL: RAIS WA ZAMANI MICHEL TEMER AACHIWA

Na Mwandishi Wetu

Mahakama nchini Brazil imeamuru kuachiwa kwa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Michel Temer.

Mahakama hiyo imeeleza kwamba hapakuwepo na sababu yoyote ya kisheria ya kukamatwa kwa kiongozi huyo wa zamani.

Hakimu pia ameamuru kuachiwa kwa aliyekuwa Waziri wa Nishati Moreira Franco. Temer na Franco walikamatwa kwa madai ya kuhusika na ufisadi katika shirika la serikali la mafuta Petrobras ambalo kwa miaka mingi limetikisa siasa za Brazil.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles