27.5 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

BONDIA FRANCIS CHEKA ASHIKILIWA NA POLISI

cheka

RamadhanLibenanga ,Morogoro

Bondia Francis Cheka ashikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa kushindwa kulipa fidia ya shilingi milioni 28 .

Bondia huyo ambaye yuko rumande sasa, anakabiliwa na kosa la kukataa kupanda ulingoni desemba 25 dhidi ya bondia Abdalha Pazi (Dulla Mbabe) .

Kwa mujibu wa Promota wake, Kaiki Siraji, alifungua kesi katika Kituo cha Polisi cha Kawe kwakuwa Cheka alimbadilikia dakika za mwisho wakati walikuwa na makubaliano kimkataba ulio kwa mujibu wa sheria za ngumi.

Hata hivyo, Bondia Cheka atapelekwa Dar es Salaam kesho akiwa chini ya ulinzi kwa ajili ya kesi hiyo katika kituo cha Kawe ambako kesi ilifunguliwa Desemba 25.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles