27.9 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Binti wa Eminem: Sina ujauzito

NEW YORK, Marekani

HAILIE Scott Mathers, ambaye ni mtoto wa kike wa staa wa muziki, Eminem, amewajibu mashabiki wake akiwaambia si kweli kwamba ana ujauzito.

Minong’ono ya ujauzito ilianza mara tu bibiye huyo mwenye umri wa miaka 25 aliposema ana hamu ya kupata mtoto.

Akikanusha hilo, Hailie anayetoka kimapenzi na mshikaji aitwaye Evan McClintock, amesema: “Bado, labda baada ya miaka miwili au mitatu.”

Katika hatua nyingine, amekiri kuwa baba yake, Eminem, naye ana hamu kweli kweli ya kuitwa babu.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles